iqna

IQNA

sheikh jarrah
TEHRAN (IQNA)- Mpalestina amekataa dola milioni tano za Kimarekani kutoka wa Wazayuni ambao walikuwa wanataka kumiliki nyumba yake katika mtaa wa Sheikh Jarrah mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474661    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/10

TEHRAN (IQNA) -Makundi ya muqawama na kupigania ukombozi wa Palestina yametoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuchukua hatua zozote za kuwakandamiza vijana Wapalestina katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473877    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/04